Mtoto wa Miezi 6 Akutwa na Virusi vya Corona
WIZARA ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la visa 25 vya #COVID19 baada ya sampuli 1,012 kufanyiwa vipimo na kufanya idadi ya visa nchini humo imefikia 490 huku wagonjwa 6 zaidi wamepona na jumla ya waliopona ni 163.
…
