The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Messi

Messi Anyakua Ballon D’OR

Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi amefanikiwa kuweka rekodi nyingine kwenye tuzo za Ballon D'OR kwa kutwaa tuzo yake ya Saba. Nyota huyo amefanikiwa kuwashinda nyota wa Bayern Munich Robert Lewandowski na…

Ansu Fati: Siwezi Kumfikia Messi

KINDA wa Barcelona, Ansu Fati amesema kuwa alipata ofa nyingi sana lakini akaamua kubaki Barcelona na wala hana wasiwasi kuvaa jezi ya Lionel Messi. Fati alikubali kusaini mkataba mpya wa miaka sita na Barcelona juzi na sasa dau lake…

Lionel Messi Nje Wiki Mbili

Mshambuliaji mpya kwa klabu ya PSG, Lionel Messi anatazamiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani wili mbili baada ya vipimo vya MRI kuonesha kuwa amepata mikwaruzi ndani ya goti lake la kushoto ambalo lilimfanya aanze kupata maumivu kwenye…

Owen: PSG ya Messi ni Dhaifu

MICHAEL Owen anadai kikosi cha Paris Saint-Germain ni dhaifu sasa baada ya Lionel Messi kujiunga na klabu hiyo kufuatia Muargentina huyo kushindwa kufunga bao kwenye mechi yake ya kwanza akianza katika timu hiyo. Messi…

Henry: Messi Hatoshi PSG

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry amesema kuwa kitendo cha PSG kumsajili Lionel Messi siyo suluhisho la matatizo yao. PSG walimsajili Messi wiki iliyopita na anatarajiwa kuanzia mazoezi na timu hiyo kabla ya mwisho wa…

Ramos: Messi Anaweza Kuishi Kwangu

BEKI wa Paris Saint-Germain, Sergio Ramos amemwambia mchezaji mpya wa klabu hiyo, Lionel Messi anaweza kwenda kuishi nyumbani kwake yeye na familia kama atakuwa amechoka kuwa hotelini katika kipindi hiki ambacho bado anaweka mambo yake…

Jina la Messi Latajwa PSG

MSHAMBULIAJI bora wa muda wote ndani ya Barcelona, Lionel Messi amesema kuwa hakuhitaji kuondoka ndani ya Barcelona huku akibainisha kwamba bado hakuna jambo lililothibitishwa kuhusu yeye kujiunga na kikosi cha PSG ambacho kinatajwa…

Messi wa Misri Ashangaza

Mchoraji mmoja kutoka Misri amepata mashabiki wengi katika taifa hilo la Afrika Kaskazini hasa wapenzi wa soka wanaovutiwa na mchezo wa Nyota wa Barcelona Lionel Messi. Hii ni kwa sababu ya jamaa huyo Islam…

Halaand Awavuruga Messi na Ronaldo

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund ya Ujerumani Erling Braut Haaland amekuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 20 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, akiwa na umri wa miaka 20 lakini pia katika idadi ndogo ya michezo 14, baada ya…

Barcelona Yamvuruga Tena Messi

MSHAMBULIAJI wa Barcelona na ttmu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, amesema jaribio lake la kutaka kuondoka klabuni hapo ambalo liligonga mwamba katika dirisha la uhamisho lililopita liliathiri sana mchezo wake msimu huu. …

Messi Huyooo… Inter Millan

Miamba ya soka la Italia, Inter Milan inatajwa kuwa miongoni mwa timu kutoka nchini humo ambazo zinapigania saini ya mshambuliaji wa FC Barcelona, Lionel Messi. Rais wa zamani wa Inter Milan, Massimo Moratti anaamini kwamba…