Mgahawa Dar wanusulika kuungua
Mlango wa jengo hilo.
Moshi ukiwa umetanda ndani ya chumba cha mgahawa huo.
Gari la jeshi la zimamoto likiwa eneo la tukio.
Baadhi ya wananchi waliofika eneo hilo wakishuhudia uokoaji.
Moja ya friji lililokuwemo ndani likitolewa.…
