Faini Milioni 2 Ukikaidi Kuvalisha Mifugo Yako Hereni za Kielektroniki Kabla ya Desemba 10
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi imewataka wafugaji wote nchini kuhakikisha mifugo yao inatambuliwa kwa kuvalishwa hereni za kieletronic kabla ya tarehe 30 mwezi wa kumi na watakaokaidi agizo hilo watalipishwa faini ya shilingi millioni mbili.…
