The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mikasa

SIMANZI NZITO MGODINI

NI simanzi nzito! Wachimbaji wawili wa dhahabu katika Kijiji cha Izumbi, Sangamba Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika Mgodi wa Mwembe wilayani Chunya, Mbeya.  Tukio…

ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji ya mkwewe, Amani lina habari ya kusikitisha.  Tukio hilo lililoacha simanzi…

PAKA WAAJABU AMTIKISA MCHUNGAJI

MOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Tukio la kushangaza lililotikisa mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki iliyopita ni la paka wa ajabu kutinga katika eneo la kazi la mchungaji aliyefahamika kwa jina la Keneth Haule kisha…

MAMA WA KANUMBA KUBURUZWA KORTINI

DAR ES SALAAM: BALAA jipya! Mama wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa anatarajiwa kupandishwa mahakamani; chanzo kikitajwa ni mali za mwanaye. Akizungumza kwa njia ya simu akiwa…

ALIYEKATWA MIKONO ASHTUA WENGI!

MARIAMU Staford ni mwanamke mwenye ualibino aliyefanyiwa unyama wa kutisha wa kukatwa mikono yake yote mwaka 2008 akiwa nyumbani kwao katika Kijiji cha Ntobeye Wilaya ya Ngara mkoani Kagera kwa imani za kishirikina, lakini amekuwa…

ANASWA KWA WIZI FEDHA MTANDAONI

MOROGORO: Kijana mmoja ‘Sharobaro’ ambaye jina lake halikupatikana mara moja amepokea kochapo kutoka kwa wananchi waliomshutumu kuiba pesa kwa njia ya mtandao wa simu.  Tukio hilo lililojaza umati mkubwa wa watu limetokea…

AUAWA KWA VISU, ATUPWA BWAWANI

MWANAUME mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake ameuawa kwa visu na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa katika bwawa la maji lililopo katika Mtaa wa Shunu, Kata ya Nyahanga Wilayani Kahama mkoani Shinyanga.  …

MWANARIADHA ATOWEKA SIKU 240

DAR ES SALAAM: Mwanariadha maarufu ambaye alishiriki mbio za marathon mwaka 2017/18 Mtwara na kushinda, Denis Mathias (pichani) mkazi wa Tabata, Dar ametoweka katika mazingira ya kutatanisha huku madai ya kutekwa na kuuawa yakitawala.…

MKE WA MBUNGE YAMFIKA MAZITO

IKIWA imepita takriban miezi 8 tangu aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ afariki dunia, mkewe mdogo aliyefahamika kwa jina la Alwiya Ahmed yamemkuta mazito, Gazeti la Ijumaa lina…

MUME AMNUSISHA KIFO MKEWE!

KATIKA ndoa za siku hizi, wakati mwanaume na mwanamke wakikutana na kukubaliana kuoana, utadhani hakuna jambo baya linaloweza kutokea kati yao miaka kadhaa baadaye, Uwazi lina kisa cha kusikitisha. KUMNUSISHA KIFO Mwanaume mmoja…