‘Nisaidieni jamani, mishipa mwilini imepasuka’
Na Elvan Stambuli
HATARI! Kelvin Msuya (28), mkazi wa Kijiji cha Kiyungi wilayani Hai, Mkoa wa Kilimanjaro yupo katika hatari ya kupoteza maisha kufuatia mishipa ya mwilini mwake kupasuka na kuvuja damu kwa ndani.
Akizungumza na Uwazi…
