Cheki Rose Manfere Alivyotwaa Taji la Miss Tanzania kwa Mbwembwe
Mrembo Rose Manfere usiku wa kuamkia leo ametwaa taji la Miss Tanzania kwa mbwembwe na mikogo akiwabwaga wenzake 19 katika shindano lililofanyika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta Jijini Dar.
Rose alianza…
