The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

mitihani

Kidato cha Nne Waanza Kufanya Mitihani Leo

WANAFUNZI 490,103 wa kidato cha nne nchini wanaanza mitihani ya kumaliza elimu  ya sekondari leo Novemba 23, 2020,  ambapo wavulana ni 213,553 sawa na asilimia 47 na wasichana wakiwa ni 234,103 sawa na asilimia 52.3. Taarifa…

Kidato cha Pili Kuanza Mitihani wa Kitaifa Leo

Wanafunzi wa kidato cha pili wapatao  646,148 kote nchini  wanatarajia kuanza Mitihani hiyo leo Jumatatu, Novemba 9, 2020 hadi Novemba 20, 2020 ambapo kati yao 301,831 (46.71%) ni Wavulana huku 344,317 (53.29%) wakiwa Wasichana. …