Jiko la Mkaa Laua Wawili Njombe
Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo la kupunguza baridi Mkoani Njombe.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa…
