Simulizi ya Kusisimua…. MKATABA – 3
ILIPOISHIA JUMATANO
“Sina uhakika na hili jambo.”
“Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.”
“Sawa.”
“Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda kupita kiasi. Muda…
