Mkate wa Maboga, Nazi na Maziwa
LEO tutaona jinsi ya kupika mkate wa maboga, nazi na maziwa.
MAHITAJI
Unga wa ngano kilo 1
Hamira kijiko 1
Chumvi ½ kijiko cha chai
Sukari kijiko 1
Maziwa ,tui bubu la nazi
Uji mzito wa maboga yaliyochemshwa na kupoa…
