Mke hutulii halafu unataka mapenzi ya mume?
Asalaam aleykum wapendwa wasomaji wangu. Wiki iliyopita nilipata ujumbe kutoka kwa baadhi yenu wakinipongeza kwa mada yangu iliyotangulia, iliyowasema akinababa, kwa matendo yao yasiyofaa wanayofanya dhidi ya wake zao.
Leo nimeona ni jambo…
