Yusuf Mlela Sioni Tatizo Wasanii wa Bongo Fleva Wakiigiza
MKALI katika tasnia za filamu Bongo, Yusuf Mlela amesema kutokana na mabadiliko yanayohitajika kwenye sanaa, haoni tatizo wasanii wa Bongo Fleva wakiingiza kwenye filamu na tamthiliya.
Akizunguza na AMANI, Mlela ambaye…
