Lipuli Yanyemelea Wawili Simba SC
LIPULI FC wanaangalia uwezekano wa kuwachukua wachezaji wawili wa Simba kwa mkopo Yusuph Mlipili pamoja na Kennedy Juma katika usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Desemba 16, mwaka huu.
Lipuli imejipanga kuhakikisha…
