Straika wa Mil 100 Simba mguu ndani, nje
DIRISHA dogo la usajili linafunguliwa Novemba 15 mwaka huu, tayari mambo ni moto kwani ndani ya Simba, mshambuliaji wa timu hiyo, Mohammed Rashid huenda akaonyeshwa mlango wa kutokea.
Rashid alisajiliwa na Simba msimu huu…
