Mwanafa atoa tamko kwa Steve Nyerere
MwanaFA; ni staa wa Hip Hop Bongo na Mbunge wa Jimbo la Muheza jijini Tanga ambaye amelazimika kutoa tamko rasmi kwa niaba ya wasanii wenzake juu ya uteuzi wa Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT).
MwanaFA…
