The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

muna love

Muna: Waislam Mtanipokea?

Muna Love; ni mwigizaji wa Bongo Movies japo kwa muda mrefu hajaonekana lokesheni ambaye hivi karibuni alizua kizaazaa baada ya kujuta kufanya sajari zipatazo 11 za kurekebisha maumbile yake na kujikuta kwenye hali mbaya. …

Muna: Sina kinyongo na Wema

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna Love’ amesema kuwa hajawahi kuacha kumpenda msanii mwenzake Wema Sepetu licha ya mambo yote yaliyowahi kutokea kati yao.  Akizungumza na Risasi Vibes hivi karibuni ikiwa ni baada ya wawili hao…

Mahakama yavunja ndoa ya Muna Love

HATIMAYE Mahakama ya Mwanzo Magomeni jijini Dar, imevunja ndoa ya msanii wa filamu nchini, Rose Alphone ‘Muna Love’ na aliyekuwa mumewe, Peter Komu baada ya kudumu kwenye mgogoro mzito tangu mtoto wao Patrick alipofariki dunia mwaka…

MUNA: ULOKOLE SIYO KUJIBWETEKA

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi ambaye kwa sasa amemrudia Mungu, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema watu wengi wanafikiri mtu akiokoka, basi muda wote anashinda kanisani tu na siyo kufanya kitu kingine ambacho kinaweza kumsaidia kwenye maisha. …

MUNA ASHUSHA POVU SI LA NCHI HII

MSANII wa filamu ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki wa Injili, Rose Alphonce ‘Muna Love’ amemtolea povu si la nchi hii shabiki wake aliyetaka kujua wapi anapopata fedha za kutanua. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Muna…

NDOA YA LULU YAVURUGWA

DAR ES SALAAM: KWA mara nyingine, maandalizi ya ndoa ya staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mchumba’ke, Francis Siza ‘Majizo’, imevurugwa, Risasi Jumamosi limedokezwa. ITAFUNGWA LINI? Katikati ya…

MUNA ALIA NA WATOTO HAWA

MIEZI kadhaa baada ya mwanadada Rose Alphonce ‘Muna Love’ afiwe na mwanaye Patrick Peter, ameamua kumuenzi mwanaye huyo kwa kufanya shughuli za kijamii ikiwa ni pamoja na kuwasaidia watoto wenye matatizo. Muna aliwahi kueleza kuwa,…

MUNA ABURUZWA POLISI NA MAMA’KE

BADO mambo ni moto! Mama mzazi wa mwigizaji wa filamu za Kibongo, Rose Alphonce Nungu almaarufu Muna Love, Ritha Rabia Moyo amefikia hatua ya kumburuza Polisi mwanaye huyo kwa makosa ya mtandaoni ya kumtukana na kumkana yeye na mtoto…

WOLPER AMWAGA MATUSI KISA MUNA

MUIGIZAJI mwenye jina kubwa Bongo, Jacqueline Wolper ‘Wolper’ ameshindwa kujizuia na kujikuta akiporomosha matusi baada ya kuulizwa anazungumziaje sakati la Muna kumkataa mwanaye.  Akipiga stori na Risasi Vibes, Wol-per alis-ema kuwa,…

PATRICK AMPA WAKATI MGUMU MUNA

MSANII wa Bongo Movies na muziki wa Injili, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema kwamba kitendo cha yeye kuonekana akiwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu na wenye magonjwa mbalimbali ni kazi anayoifanya kumuenzi marehemu mtoto…

Muna Aibua Mapya Mavazi ya Mwanaye

KISHINDO kifo cha mtoto wa msanii Rose Alphonce ‘Muna’, Patrick Peter kingali kikivuma na kusababisha mapya kila uchwao, safari hii mavazi yake yamehusika. Mama mzazi wa mtoto huyo ambaye ni marehemu amejitokeza tena hivi karibuni na…

Zari Ampa Pole Muna Kufiwa na Mwanaye

ALIYEKUWA mpenzi wa Diamond Platinumz, Zarina Hassan “Zari The Bosslady”,  ametoa pole kupitia akaunti yake ya Instagram kwa msanii wa filamu za Bongo na mdau wa muziki wa Bongo Fleva, Rose Alphonce ‘Muna Love’ kwa kufiwa na mwanaye.…

Muna: Nitafunga Mpaka Lulu Atoke

MMOJA kati ya wasanii wa karibu wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni Rose Alphonce ‘Muna’ ambaye tangu aanze kukumbana na tatizo hili la kesi ya mauaji bila ya kukusudia dhidi ya msanii mwenzake marehemu Steven…

Muna: Lulu Ananinyima Usingizi!

MSANII wa filamu na mjasiriamali, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema kuwa, anapitia katika kipindi kigumu sana cha kumuuguza mtoto wake lakini muda huohuo kukosa usingizi kutokana na kesi inayoendelea ya mdogo wake wa hiari, Elizabeth Michael…

Dogo Janja Munalove Kulikoni?

STAA wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ anadaiwa kulelewa na mwanamama ambaye ni msanii wa filamu wa zamani, Muna Alphonce ‘Munalove’ na sasa wanapika na kupakua. Chanzo makini kiliiambia Risasi Vibes kuwa, wawili hao…