NALIAMSHA DUDEEE… KAZA CHAGA MAMA!
NILIKUWA kijiweni katika mishemishe zangu za kusaka ‘mpunga’ nilipopigiwa simu na dada anayekimbiza mtima wangu siku zote.
“Hallow baby,” nikaitika.
“Uko wapi honnie?” aliuliza kisha akaendelea kuzungumza, “nipo nyumbani kwako,…
