Namibia Yatangaza Kuuza Tembo kwa Mnanda
WIZARA ya mazingira ya Namibia imesema kwamba serikali ya nchi hiyo inapanga kuuza ndovu (tembo) 170 kutokana na hali mbaya ya kiangazi na idadi kubwa ya ndovu katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
Tangazo la kuuzwa kwa…
