Na GLADNESS MALLYA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI
WE GONNA miss you! Ndivyo baadhi ya mastaa walivyosikika wakisema mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ kufanya mabadiliko madogo ya baraza…
DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye January 11, 2017 alimkabidhi nyota wa Afro Pop, Diamond Platnumz bendera ya Taifa ili kuiwakilisha nchi ya Tanzania kwenye ufunguzi rasmi wa mashindano ya Africa Cup…
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape (wa pili kulia) akiingia katika Hoteli yaRamada iliyoko Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam, akiwa ameongozana na wajumbe wa kamati ya Miss Tanzania.
Mrembo wa Tanzania 2014 Lilian…