Ndege ya FlyDubai Yaanguka na Kuua 62
FlyDubai Boeing 737 -800
WATU 62 wamepoteza maisha dunia baada ya ndege ya FlyDubai Boeing 737 -800 kupata ajali wakati ikijaribu kutua katika uwanja wa ndege wa Rostov-on-Don nchini Urusi usiku wa kuamkia leo.
Ndege hiyo ilivyowaka…
