Ndoa bila watoto haina maana?-2
Kila mmoja alisema ni Mungu tu. Si kwa akili zao. Wamepita changamoto nyingi. Wangekuwa legelege wangeshaachana. Walisimama imara. Walimtanguliza Mungu katika kila jambo, ndoto yao ikatimia.
“Kweli kuna wakati nilishaamua iwe mwisho wa…
