Ndoa na Shetani 34
ILIPOISHIA:
“We nani?” aliuliza kwa sauti kubwa.
Nikijifanya mapepo yamenipanda nilimvamia Mtume Mutombo kwa kushika vazi lake kwa nguvu mpaka nikalichana. Kwa vile nilikuwa kazini nilifanya nilichoelekezwa kwa ustadi mkubwa ili ionekane…
