Baby Madaha Achomoa Ndoa ya Mwarabu
DAR ES SALAAM: Staa wa Bongo Fleva na Sinema za Kibongo, Baby Joseph Madaha amechomoa ishu ya kuolewa na pedeshee wake mwenye asili ya Dubai ‘Mwarabu’ kutokana na kumpa sharti la kubadili dini kutoka Mkristo na kuwa Muislam.
Baby Madaha…
