Antony Joshua Akubali Kuzichapa Tena Disemba na Mwanamasumbwi Tyson Fury Baada ya Kuombwa Pambano
TYSON Fury amemwita Anthony Joshua kwenye "Batle of Britain"; Bondia Antony Joshua amejibu kwenye Twitter, akisema atakuwa tayari kupigana Desemba;
Oleksandr Usyk hatarajiwi kuwa tayari kwa pambano lisilopingika la ubingwa…
