Fainali Ndondo Cup kinawaka leo Kinesi Madenge dhidi ya Kibangu Rangers
LEO Jumapili, fainali ya michuano ya Ndondo Cup 2023, inatarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango, Ubungo, Dar, kati ya Madenge FC kutoka Magomeni-Makuti Wilaya ya Kinondoni, dhidi ya Kibangu Rangers inayotokea…
