The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ney wa Mitego

BADO NAY ANAMPENDA NINI

MWANA-MUZIKI wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ameeleza la moyoni kuwa bado anampenda aliyekuwa mpenzi wake, Nini na endapo atarudi atakuwa tayari kumpokea. Nay aliliambia Ijumaa Wikienda: “Bado ninampenda sana Nini…

NAY AMVAA BABU TALE!

BAADA ya hivi karibuni Meneja wa Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’; aitwaye Hamis Taletale ‘Babu Tale’ kuibukia Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa ajili ya kumuombea msamaha msanii wake huyo kwa mzazi mwenziye, Zarinah Hassan…

Siwema: Nay Alinipiga Mil. 70!

Na: IMELDA MTEMA| RISASI JUMAMOSI| HABARI MZAZI mwenzake na staa wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema ameibuka na kutoa simulizi yake ya nyuma na kusema kamwe hatasahau mzazi mwenzake huyo alivyomuongopea na…