Ngoma apewa sh.millioni 200
Donald Ngoma.
Wilbert Molandi, Dar es Salaam
SIJUI utatafsiri vipi lakini habari mpya mjini ni kuwa Klabu ya Yanga imeweka pembeni dau la dola 100,000 (zaidi ya shilingi milioni 200) kutoka kwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kwa ajili…
