Ngwair: Bado Nalia tu na Tanzania
ALBERT Keneth Mangwair a.k.a Mimi, a.k.a Ngwair, alizaliwa Novemba 16 1982. Mei 28, 2013 msanii huyo akajitenga na dunia hii na kuuacha muziki wa Hip Hop, Bongo ukiwa njia panda.
Wapo wanaosema kwa Bongo hakuna msanii…
