Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike-26
Nilikuwa nimedhamiria kutoa roho za watu na niliamini kusingekuwa na mtu ambaye angenitisha kwa lolote lile. Niligundua kwamba kupitia ajali kungekuwa na damu nyingi sana ambayo ingepatikana huko.
Nilijitahidi na kununua mabasi kumi…
