The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ninja

Nabi Amfungia Kazi Ninja

KATIKA kuhakikisha anaisuka vema safu ya ulinzi, Kocha Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemfungia kazi beki jihad, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ kwa kumpa mbinu za kuwadhibiti mabeki wa wapinzani wao, Simba. Timu…

Ninja Atamba Nileteeni Huyo Morrison

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema amekuwa akizisikia kelele za mashabiki wa Simba wakitamba kwamba hatoweza kumdhibiti winga wa timu hiyo, Bernard Morrison katika mchezo wa watani wa jadi utakaochezwa Jumamosi hii.…

Ninja: Hii siyo Yanga Ninayoijua

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, ameibuka na kukiri wazi kuwa anapata tabu kutokana na ugumu wanaopitia kwenye Ligi Kuu Bara huku akisisitiza wazi haioni Yanga aliyokuwa ameizoea kwani imekuwa ikiwavunja moyo kadiri muda…

Ninja Apata Dili Ulaya, Asaini

WAKATI uongozi wa Klabu ya Yanga ukiendelea kumpigia simu beki wake wa kati, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ inaelezwa tayari mlinzi huyo ameshasaini mkataba wa miaka mitatu na mmoja kati ya timu zinashiriki Ligi Kuu ya Jamhuri ya Czech barani…

Ninja: Mtamsahau Cannavaro Wenu

BEKI wa kati wa Klabu ya Yanga Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo mara baada ya kukabidhiwa jezi namba 23 ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kwa kusema kuwa atapiga sana kazi. …

Ninja Arejea Mdogomdogo Yanga

BAADA ya kuikosa michuano ya Kombe la Mapinduzi, beki wa kati wa Yanga, Abdallah Saibu ‘Ninja’, amepata nafuu ya majeraha ya kifundo cha mguu na wiki hii anatarajiwa kuanza programu maalumu ya Mazoezi mepesi ya binafsi. Beki…