The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

NJAA NA UKAME

Kero ya Maji Kishapu Shinyanga

WAKATI nchi yetu Tanzania ikiadhimisha wiki ya maji, imeelezwa kuwa wanawake wengi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta maji hivyo kushindwa kushiriki katika shughuli za maendeleo kikamilifu.…