NORA AOMBA MSAADA WA MAOMBI
MGANGA hajigangi! Licha ya kwamba kwa sasa ameishika dini vilivyo, msanii wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nuru’ amewaomba watu wamuombee ili aweze kufika peponi. Akibonga na Ijumaa,Nora alisema anaweza kuwa mstari wa mbele kuwahamasisha…
