The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ntibazonkiza

Ntibazonkiza Ampagawisha Nabi Yanga

BIG bosi wa benchi la ufundi la Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana kukoshwa vilivyo na kiwango cha staa wake, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ huku akiwaambia viongozi wa timu hiyo wampe mkataba mpya. Saido amekuwa na kiwango cha juu ndani…

Saido, Mukoko Waapa Kuiua Simba

MASTAA wawili wa Yanga, Mrundi, Said Ntibazonkiza ‘Saido’ na Mkongomani, Mukoko Tonombe, wamejiapiza kwa mashabiki kwamba watapambana kwa kadiri ya uwezo wao kupata matokeo ya ushindi kwenye mchezo wao unaofuata dhidi ya Simba.…

Saido Apewa Jukumu Zito Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Said Ntibazonkiza ‘Saido’, amepewa jukumu zito na kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi kwa kuhakikisha anapambana na wachezaji wenzake kuisaidia timu hiyo kuchukua ubingwa msimu huu.…

Saido Apewa Program Maalum Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, ameanza mazoezi katika timu hiyo kwa program maalum kabla ya kuungana na wenzake katika mazoezi ya pamoja. Hiyo ikiwa ni siku moja tangu kiungo huyo atue nchini…

Saido Arejea Rasmi Kazini

HATIMAYE kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Burundi ameanza mazoezi rasmi mara baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili. Mara ya mwisho Ntibazonkiza kuonekana uwanjani ilikuwa Januari 12, mwaka…

Saido Apona, Atimkia Burundi

STAA wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ametolewa kwenye kikosi cha Yanga kitakachomenyana na Kengold FC kwenye mchezo wa michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) kutokana na matatizo ya kifamilia. Yanga inatarajia…

Saido Awekwa Chini ya Ulinzi…

ZIKIWA zimebaki siku nne pekee kabla ya kuwavaa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, presha imeshuka ndani ya kikosi cha Yanga baada ya wachezaji watatu kati ya wanne waliokuwa majeruhi kuanza rasmi mazoezi ya pamoja na wenzao.…

Saido Akabidhiwa Jukumu Zito Yanga

KOCHA wa Yanga, Cedric Kaze, amesema amemuagiza kiungo mpya wa timu hiyo, Said Ntibazonkiza ‘Saido’ kuangalia kwa umakini namna viwanja vya mikoani vilivyo na kumtaka kuja na mbinu ambayo itaisaidia timu katika mechi za nje ya Dar.…

Simba Wamfuata Ntibazonkiza

UMAFIA! Hivyo ndivyo utakavyosema baada ya kufahamika kuwa mabosi kadhaa wa Simba wamevamia nchini Burundi kufuata saini ya kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Said Ntibazonkiza ‘Saido’. Yanga hivi karibuni…