Super Nyamwela: Siachi Kunengua, Mwili Unaruhusu
MNENGUAJI wa kitambo katika Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Musa Hassan ‘Super Nyamwela’ amesema kuwa, pamoja na kudumu kwa muda mrefu kwenye fani hiyo, lakini hana mawazo ya kuiacha kwa sababu bado mwili unamruhusu.
…
