Yanga Yamtema Kiungo Mghana
YANGA imeachana na aliyekuwa nyota mpya ndani ya klabu hiyo ambaye alikuwa akisubiri dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kusaini mkataba klabuni hapo, Mghana, Geofrey Nyarko.
Nyota huyo alijiunga na Yanga baada ya kufungwa kwa…
