The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Nyoni

Nyoni, Banda Wamtibua Gomes Simba

KOCHA Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes amesema kuwa ameshindwa kufanya maandalizi mazuri ya mchezo wa hatua ya pili ya Ligi Kuu Bara baada ya wachezaji wake wawili kuchelewa kujiunga na timu hiyo. Hiyo ni katika kuelekea…

Nyoni: Sasa Waje Wengine

MFUNGAJI wa bao pekee la Simba dhidi ya Yanga, Erasto Nyoni amesema sasa wamesahau juu ya mchezo huo na wanajipanga kwa ajili ya kuwakabili Ndanda FC, kesho Jumapili. Nyoni beki wa zamani wa Azam FC, Jumapili iliyopita…

Omog Ndiyo Basi Tena Kwa Nyoni

BEKI kiraka wa Simba, Erasto Nyoni, amefanikiwa kumteka akili kocha mkuu wa timu hiyo, Mcameroon, Joseph Omog baada ya kufanikiwa kuandika rekodi ya pekee ndani ya kikosi hicho. Nyoni ambaye amejiunga na Simba msimu huu akitokea…