Simba Yabanwa Mbavu na Namungo, Sasa Pengo na Yanga ni Alama 12
KLABU ya Soka ya Simba imeambulia sare katika pambano lake la Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo kwenye Uwanja wa Ilulu.
Klabu ya Namungo ilianza kwa kupata bao kupitia kwa mchezaji wake Jacob Masawe katika dakika…
