Breaking News: Ole Sabaya na Wenzake Sita Waachiwa Huru Arusha, Ashinda Kesi Mbili
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha leo Juni 10, 2022 imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya ushahidi uliotolewa na jamhuri kugubikwa na utata, hivyo kushindwa kuthibitisha mashtaka…
