Trump Athibitisha Marekani Kumuua Mtoto wa Osama
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba Hamza Bin Laden mwana wa mwanzilishi wa kundi la Al Qaeda, Osama Bin Laden, aliuawa katika oparesheni iliyofanywa na Marekani nchini Afghanistan.
Mwezi uliopita vyombo vya…
