The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

OZIL

Ozil Amfuata Ronaldo Juve

Klabu ya Arsenal imempa nafasi kiungo wake Mesut Ozil ya kujiunga na Juventus ya Italia kwenye dirisha dogo la usajili mwezi Januari. Vigogo hao wa London wako tayari kulipa sehemu ya mshahara wa kiungo huyo raia wa Ujerumani mwenye…

Emery Ajitetea Kumtosa Ozil

MANCHESTER, England: MESUT Ozil ni mchezaji ambaye anaongoza kwa kukunja mshahara mrefu zaidi Arsenal kila wiki, lakini pia ni mchezaji wa timu hiyo anayeongoza kwa kutopata nafasi ya kucheza msimu huu. Ozil anapokea kitita…

Ozil Atupiwa Virago Arsenal

MEZUT Ozil amegoma kuondoka Arsenal licha ya kuelezwa hatakiwi na kocha wake, Unai Emery. Emery amekuwa hafurahishwi na kiwango cha Ozil wakati analipwa mshahara mkubwa wa pauni 350,000 kwa wiki. Kocha huyo sasa anataka Ozil…