The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

pablo

Pablo Aanza na Kagere, Mugalu

SHAUKU ya kupata mabao ya Kocha Mkuu wa Simba raia wa Hispania, Pablo Franco, imemfanya aanze kuitengeneza safu ya ushambuliaji kati ya Meddie Kagere na Chris Mugalu, ili waweze kucheza kwa pamoja katika mechi yao dhidi ya Prisons…

Pablo Aanza na Majembe Mapya Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameonyesha kuwa ni kweli hataki masihara, kwani mapema tu ameweka wazi kuwa atakuwa na programu maalum na majembe mapya ya kikosi hicho ili kuhakikisha wanaingia katika mfumo wake na kupata muunganiko…

Nabi Awakazia Mastaa Yanga

UNAAMBIWA kisa matokeo ya sare katika mchezo wao uliopita dhidi ya Namungo, kocha mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi ameonyesha kuwa hataki kuona wanadondosha pointi nyingine hii ni baada ya kuwakomalia mastaa wa timu hiyo katika maandalizi…

Pablo Aleta Balaa Jipya Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amekuja kivingine katika kikosi chake akimtaka kila mchezaji kufanya mazoezi binafsi. Hiyo ni katika kuhakikisha kila mchezaji anakuwa na fiziki ya kutosha ndani ya uwanja wakati kikosi…

Simba Sasa Vilio basi

KLABU ya Simba, imeingia mkataba wa miaka miwili na Kocha Pablo Franco raia wa Hispania mwenye miaka 41, akichukua mikoba ya Mfaransa, Didier Gomes aliyesitishiwa mkataba wake hivi karibuni. Kabla ya Pablo kujiunga na Simba, alikuwa…