Mkurugenzi Mwingine Atumbuliwa
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amemsimamisha kazi mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), David Palangyo, na kumtaka asubiri kupangiwa kazi nyingine.
Akizungumza leo Alhamisi, Desemba 10,…
