The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Paul Nonga

Nonga Arudisha Mkwanja Namungo

PAUL Nonga, nyota mpya wa Gwambina FC inayonolewa na Fulgence Novatus, ilimlazimu arudishe nauli kwa mabosi wa Namungo ambao walikuwa wanahitaji saini yake. Nyota huyo aliyekuwa Lipuli, alikuwa anahitajika kwenda kusaini…

Nonga aikosakosa Stand United

Paul Nonga Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Nonga amesajiliwa na Yanga kwa…