Penzi Kabla ya Kifo-23
Msichana bilionea, Elizabeth na mpenzi wake wapo nchini Ujerumani walipokwenda kumuuguza mtoto Glory. Wanapofika huko, Elizabeth anapigiwa simu na mwanaume aliyewahi kumpenda sana, Rasheed ambaye anamwambia kuwa anataka kuonana naye.
SONGA…
