Chikwende Aahidi Mabao Simba SC
PERFECT Chikwende, kiungo mshambuliaji wa Simba, amesema malengo yake ni kuisaidia timu hiyo kufanya vizuri kwenye Kombe la FA na Ligi Kuu Bara, ambapo ameahidi kufunga mabao mengi kadiri anapopata nafasi.
Chikwende alikuwa…
