Pimbi: Marioo Kamfunika Harmonize Kimuziki, Amebaki Kutembelea Kiki ya Kajala
MSANII wa vichekesho nchini anayefahamika kwa jina la Pimbi amesema kwa sasa kimuziki Marioo kamuacha mbali sana CEO wa Kondegang, Harmonize kwani kwa mwaka huu nyimbo ya Naogopa ndiyo nyimbo bora kuliko nyimbo yoyote ile.
…
