Wastaafu Watembelea SGR Morogoro
Viongozi wastaafu wakiongozwa na marais wastaafu wa awamu ya pili na ya nne, Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Mrisho Kikwete, leo Julai 6, 2021 wamewasili wilayani Kilosa, Morogoro kwa ajili ya ziara maalum ya kutembelea na kujionea…
