Wachezaji Simba Waapa Zimbabwe
WACHEZAJI wa Simba wameapa kuondoka na ushindi katika mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya FC Platinum, unaotarajiwa kuchezwa keshokutwa Jumatano nchini Zimbabwe.
Simba wamefuzu…
