Rage Ampa Mbinu Sven Kuwavaa Plateau
ALIYEWAHI kuwa mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amempa tahadhari kocha wa timu hiyo, Sven Vandenbroeck kuhakikisha anakwenda katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya Plateau United ya Nigeria kwa tahadhari.
…
